Ruto amesema serikali itaendelea kusaidia wananchi walioathirika na ma

  • Ruto amesema serikali itaendelea kusaidia wananchi walioathirika na mafuriko. Msaada wa chakula na makazi umetumwa kwa maeneo yaliyoathirika zaidi. Tuwe radhi kusaidiana wakati huu mgumu.