Ruto ameanza ziara ya kikazi Mombasa leo, akikagua maendeleo ya baraba

  • Ruto ameanza ziara ya kikazi Mombasa leo, akikagua maendeleo ya barabara ya Dongo Kundu. Wananchi wamempokea kwa shangwe, wakitumai miradi hii itaongeza ajira.
      • Spark
      • Comment
      • Share