Timu ya Kenya imeshinda mechi yake ya kwanza kwenye michuano ya Afrika

  • Timu ya Kenya imeshinda mechi yake ya kwanza kwenye michuano ya Afrika Mashariki. Wachezaji walionyesha mchezo mzuri na kufunga mabao matatu. Hongera kwa timu nzima!
      • Spark
      • Comment
      • Share