Timu ya Arsenal imefanikiwa kushinda mechi yao ya jana dhidi ya Chelse

  • Timu ya Arsenal imefanikiwa kushinda mechi yao ya jana dhidi ya Chelsea kwa mabao 3-1. Saka alifunga bao la kwanza, na Odegaard aliongeza la pili. Chelsea walijaribu kurudi lakini haikuwa siku yao. Noma sana!
      • Spark
      • Comment
      • Share