• Nimekaa hapa cafe nikiona kijana akiwa anajitosa kuongea na mtu wa HR kutoka kampuni kubwa. Nilijikumbusha vile nilipata kazi yangu ya kwanza — si kwa CV, bali kwa kukutana na mtu kwa random place. Networking ndio hizo! Usiogope kujitokeza, ukuta ni mdogo...  more