Nimekaa hapa cafe nikiona kijana akiwa anajitosa kuongea na mtu wa HR kutoka kampuni kubwa. Nilijikumbusha vile nilipata kazi yangu ya kwanza — si kwa CV, bali kwa kukutana na mtu kwa random place. Networking ndio hizo! Usiogope kujitokeza, ukuta ni mdogo... moreNimekaa hapa cafe nikiona kijana akiwa anajitosa kuongea na mtu wa HR kutoka kampuni kubwa. Nilijikumbusha vile nilipata kazi yangu ya kwanza — si kwa CV, bali kwa kukutana na mtu kwa random place. Networking ndio hizo! Usiogope kujitokeza, ukuta ni mdogo. #KenyaCareers#Networkingless