Ochowa Nevi: Sasa! Nairobi Expressway tolls zimepanda tena? Watu wanasema gari kuto

  • Sasa! Nairobi Expressway tolls zimepanda tena? Watu wanasema gari kutoka Mlolongo hadi Westlands ni 500 bob sasa. Hiyo ni pesa ya chai na mandazi! Anyway, mnaonaje hizi mabadiliko?