Ochowa Nevi: Sasa! Nairobi Expressway tolls zimepanda tena? Watu wanasema gari kuto
-
Sasa! Nairobi Expressway tolls zimepanda tena? Watu wanasema gari kutoka Mlolongo hadi Westlands ni 500 bob sasa. Hiyo ni pesa ya chai na mandazi! Anyway, mnaonaje hizi mabadiliko?
-
- Like
- Comment
- Share
-
