Ochowa Nevi: Mumias Sugar Company yaanza kusaga tena baada ya miaka mingi ya kusima
-
Mumias Sugar Company yaanza kusaga tena baada ya miaka mingi ya kusimama. Hii ni habari njema kwa wakulima wa miwa na uchumi wa magharibi mwa Kenya. Tutazidi kufuatilia maendeleo.
-
- Like
- Comment
- Share
-
