Mumias Sugar Company yaanza kusaga tena baada ya miaka mingi ya kusima

  • Mumias Sugar Company yaanza kusaga tena baada ya miaka mingi ya kusimama. Hii ni habari njema kwa wakulima wa miwa na uchumi wa magharibi mwa Kenya. Tutazidi kufuatilia maendeleo.
      • Spark
      • Comment
      • Share