Hali ya hewa imebadilika huku Nairobi ikipata mvua kubwa leo. Wakazi w

  • Hali ya hewa imebadilika huku Nairobi ikipata mvua kubwa leo. Wakazi wa mtaa wa Kibera wameanza kuhama kwa sababu ya mafuriko. Serikali imesema itatoa msaada kwa walioathirika.
      • Spark
      • Comment
      • Share