Kuanzisha startup ni kama kupanda mbegu - unahitaji uvumilivu, maji, n

  • Kuanzisha startup ni kama kupanda mbegu - unahitaji uvumilivu, maji, na jua. Lakini pia unahitaji network kubwa na strategy. Nimekuwa nikiangalia founders wengi wakikosa kusimama kwa sababu hawana mwongozo. Sema tu, mentorship ni game changer.