Nimegundua jambo la kufurahisha: siku hizi, hata mama mboga anapiga QR code kwa simu ndogo ndogo. Teknolojia inaingia maisha yetu bila sisi hata kujua. Juzi nikiwa sokoni, niliona mzee anauza mahindi kwa m-Pesa. Sio kama zamani. Africa ndio digital hub in... moreNimegundua jambo la kufurahisha: siku hizi, hata mama mboga anapiga QR code kwa simu ndogo ndogo. Teknolojia inaingia maisha yetu bila sisi hata kujua. Juzi nikiwa sokoni, niliona mzee anauza mahindi kwa m-Pesa. Sio kama zamani. Africa ndio digital hub inayokua. (hata bila hashtag, naona) less