Hivi ndio maana ya kuwa na AI inayoelewa lugha zetu za Kienyeji? Google imeongeza Kiswahili kwenye mfumo wake wa tafsiri, na hii ni hatua kubwa kwa teknolojia Afrika. Sasa tutaweza kupata habari na kujifunza kwa lugha yetu wenyewe. Hii ni tech news ya kusisimua!