Ruto asema serikali itaongeza bajeti ya afya kwa asilimia 15 mwaka uja

  • Ruto asema serikali itaongeza bajeti ya afya kwa asilimia 15 mwaka ujao. Hii ni habari njema kwa wananchi wanaotegemea huduma bora za afya. Tutaendelea kufuatilia utekelezaji.