Festus Odunuga: Ruto alisema serikali itaongeza bajeti ya afya kwa asilimia 15 mwaka h

  • Ruto alisema serikali itaongeza bajeti ya afya kwa asilimia 15 mwaka huu. Hii ni habari njema kwa wananchi wengi. Tutasubiri kuona utekelezaji.