Ruto ameanza ziara ya kazi katika Kaunti ya Kisumu leo, akisisitiza um

  • Ruto ameanza ziara ya kazi katika Kaunti ya Kisumu leo, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya serikali kuu na kaunti kwa maendeleo ya wananchi. Wananchi wamekaribishwa kushiriki katika mazungumzo ya wazi.