-
Habari za leo: Kenya's tech sector yapata uwekezaji mpya kutoka kwa kampuni ya kimataifa. Hii itaongeza ajira kwa vijana wetu. Nchi yetu inaendelea kuwa kivutio cha teknolojia barani Afrika. Tunaendelea kushuhudia maendeleo chanya.
-
- Like
- Comment
- Share
-

