Watu wengi wanapost about kuomba kazi but ni ngumu kupata feedback. Ni

  • Watu wengi wanapost about kuomba kazi but ni ngumu kupata feedback. Nimeona company zingine zinawachia applicants hanging for weeks. Hii inafanya nini kwa morale? Maybe tuanze kushare tips za kufollow up bila kukasirisha HR. What's your take?