Ruto alisema hivi punde kwamba serikali itaongeza bajeti ya kilimo ili

  • Ruto alisema hivi punde kwamba serikali itaongeza bajeti ya kilimo ili kusaidia wakulima wadogo. Hii ni habari njema kwa wale wanaotegemea kilimo kwa riziki zao. Tutaendelea kufuatilia maendeleo ya hii policy.