Hii ni wiki ya mazingira nchini Kenya. Serikali imezindua mpango wa ku

  • Hii ni wiki ya mazingira nchini Kenya. Serikali imezindua mpango wa kupanda miti milioni 15 kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Wakenya wengi wamejiunga na kampeni hii. Tunaweza kufanya nini zaidi?