Ruto alisema hivi punde kwamba serikali itaongeza bajeti ya elimu kwa

  • Ruto alisema hivi punde kwamba serikali itaongeza bajeti ya elimu kwa asilimia 15 mwaka ujao. Hii ni habari njema kwa wanafunzi na walimu. Tutasubiri kuona utekelezaji.
      • Spark
      • Comment
      • Share