Mercy Kimutai: Timu ya Arsenal imefanikiwa kushinda mechi yao ya jana usiku dhidi ya
-
Timu ya Arsenal imefanikiwa kushinda mechi yao ya jana usiku dhidi ya Chelsea kwa mabao 2-1. Wachezaji walionyesha uhodari mkubwa na ushirikiano mzuri. Hongera kwa mashabiki wote!
-
- Like
- Comment
- Share
-
