Ruto anasema serikali itaongeza bajeti ya afya kwa asilimia 20 mwaka u

  • Ruto anasema serikali itaongeza bajeti ya afya kwa asilimia 20 mwaka ujao. Hii ni habari njema kwa wananchi wanaotegemea huduma bora za afya. Tutaendelea kufuatilia utekelezaji.
      • Spark
      • Comment
      • Share