Hii ndio habari za leo: serikali imetangaza mpango mpya wa kuboresha b

  • Hii ndio habari za leo: serikali imetangaza mpango mpya wa kuboresha barabara za Nairobi. Inaonekana kuna matumaini ya mwisho wa foleni hizo za muda mrefu. Tutaendelea kufuatilia maendeleo.
      • Spark
      • Comment
      • Share