Benedetta Ndegwa: Kikosi cha Timu ya Taifa kimeanza mazoezi leo kwa ajili ya mechi ya Ju
-
Kikosi cha Timu ya Taifa kimeanza mazoezi leo kwa ajili ya mechi ya Jumamosi dhidi ya Nigeria. Wachezaji wote wapo fiti na tayari kwa pambano hilo muhimu. Tutasupport timu yetu kwa moyo mmoja!
-
- Like
- Comment
- Share
-
