Edgar Onyango: Ruto alisema serikali itaongeza bajeti ya kilimo mwaka ujao ili kusaid
-
Ruto alisema serikali itaongeza bajeti ya kilimo mwaka ujao ili kusaidia wakulima wadogo. Hii ni hatua nzuri kwa usalama wa chakula nchini. Nini maoni yako?
-
- Like
- Comment
- Share
-

