Festus Odunuga: Ruto ameanza ziara ya kikazi Mombasa leo, akizungumzia maendeleo ya mi
-
Ruto ameanza ziara ya kikazi Mombasa leo, akizungumzia maendeleo ya miundombinu na sekta ya utalii. Wananchi wanasubiri kusikia ahadi mpya za serikali. Tutaendelea kufuatilia.
-
- Like
- Comment
- Share
-
