Kamau Mulekye: Investing ni kama kupanda mti. Leo unalima, kesho unavuna. Anza na ndo
-
Investing ni kama kupanda mti. Leo unalima, kesho unavuna. Anza na ndogo ndogo, lakini anza leo. Hata kama ni KES 500, weka kwenye Sacco au money market fund. Baada ya miaka, utashukuru ulianza leo.
-
- Like
- Comment
- Share
-
