Stephen Munga : Hizi siku hizi, Nairobi traffic imekuwa mbaya zaidi, lakini pia kuna m

  • Hizi siku hizi, Nairobi traffic imekuwa mbaya zaidi, lakini pia kuna maendeleo kwa barabara mpya za Expressway. Mambo yanaenda polepole lakini hakika tunaona mabadiliko. Mtaani kwenu vipi?