Benedetta Ndegwa: Kikosi cha Timu ya Taifa kimeanza mazoezi leo kwa ajili ya mechi ya ku

  • Kikosi cha Timu ya Taifa kimeanza mazoezi leo kwa ajili ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia. Wachezaji wako tayari kutoa kila kitu uwanjani. Tutasubiria matokeo!